Sat, 14 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Shirikisho la soka Afrika Patrick Motsepe amesema anaamini kwa miaka ijayo Afrika itatoa bingwa wa kombe la Dunia kutokana na maendeleo ya sok yanavyoonekana kwasasa.
Rais wa Shirikisho la soka Afrika Patrick Motsepe amesema anaamini kwa miaka ijayo Afrika itatoa bingwa wa kombe la Dunia kutokana na maendeleo ya sok yanavyoonekana kwasasa. Patrice ametolea mfano timu ya Taifa ya Morocco ambayo ilifika hatua ya nusu fainali na kwa wakati mwingine hawataishia hapo watafika hadi fainali na hatimae kubeba ubingwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live