Mon, 10 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Manchester City, James Trafford ambaye ameibuka shujaa kwenye michuano ya Euro U-21.
Trafford aliiwezesha timu ya England kutwaa Ubingwa kwa kutoruhusu hata bao moja kwenye lango lake, kwenye maisha yake ya utotoni hadi anafanikiwa kusajiliwa na Man City jamaa alikuwa akifanya kazi za ukulima ikiwa pamoja na kuendesha trekta na kuvuna mazao.
Mzazi wake ndio shughuli zake kuu hivyo muda mwingi aliutumia kumfundisha ujuzi huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live