Mon, 26 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtoto wa mwanamuziki Kanye West na aliyekuwa mkewe Kim Kardashian, Saint West akiwa na mchezaji wa ‘klabu’ ya Inter Miami, Lionel Messi wakati wakiingia uwanjani kabla ya ‘Mechi’ kuanza.
Inter Miami usiku wa kuamkia leo walikuwa kibaruani dhidi ya LA Galaxy, mchezo uliotamatika kwa sare ya bao 1-1 huku Messi akitupia bao la kusawazisha dakika za nyongeza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live