Mtoto wa Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Liberia na sasa Rais wa nchi hiyo George Weah aitwaye Timothy Weah amewashangaza wengi baada kuamua kuichezea Timu ya Taifa ya Marekani badala ya Liberia.
Mtoto wa Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Liberia na sasa Rais wa nchi hiyo George Weah aitwaye Timothy Weah amewashangaza wengi baada kuamua kuichezea Timu ya Taifa ya Marekani badala ya Liberia. Ikumbukwe kuwa George Weah ndiye Mwafrika pekee aliyefanikiwa kushinda Tuzo ya Ballon D'or (Mchezaji bora wa Dunia) na Mwanae Timothy Weah ataiwakilisha Marekani kwenye michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu.