Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa Mtibwa Sugar kwa kushirikiana na baadhi ya wadau umekaa kikao na kutoa motisha katika timu yao ili ifanye vizuri na kuepuka kichapo leo dhidi ya Mnyama .
Uongozi wa Mtibwa Sugar kwa kushirikiana na baadhi ya wadau umekaa kikao na kutoa motisha katika timu yao ili ifanye vizuri na kuepuka kichapo leo dhidi ya Mnyama . Katika kikao hicho kilichofanyia viongozi pamoja na wadau wametoa ahadi ya sh 30 milioni endapo watapata Ushindi dhidi ya Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live