Mon, 10 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Mtibwa Sugar ya kule Manungu, Mkoani Morogoro, imemtambulisha mlinda mlango wa Mabingwa watetezi Simba SC Jeremiah Kisubi kama usajili wao mpya katika dirisha dogo.
Klabu ya Mtibwa Sugar ya kule Manungu, Mkoani Morogoro, imemtambulisha mlinda mlango wa Mabingwa watetezi Simba SC Jeremiah Kisubi kama usajili wao mpya katika dirisha dogo. Mtibwa Sugar imeamua kumsajili Jeremiah Kisubi kwa mkopo ili akazibe nafasi iliyoachwa na golikipa wao namba moja Abuutwalib Mshery alietimkia Yanga SC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live