Thu, 12 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katika kuimarisha kikosi chake kwa sehemu iliyobaki ya msimu, klabu ya Mtibwa Sugar imemsajili mshambuliaji Vitalis Jimrod Mayanga kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.
Katika kuimarisha kikosi chake kwa sehemu iliyobaki ya msimu, klabu ya Mtibwa Sugar imemsajili mshambuliaji Vitalis Jimrod Mayanga kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Polisi Tanzania ipo katika nafasi mbaya huku ikipambana isishuke daraja na sasa inanolewa na kocha Mwinyi Zahera.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live