Wed, 28 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wenyeji, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya bila mabao na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Jana Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro.
Wenyeji, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya bila mabao na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara Jana Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Kwa matokeo hayo, Mtibwa Sugar inafikisha pointi tisa, ingawa inaendelea kushika mkia kwenye ligi, wakati Dodoma Jiji FC inafikisha pointi 20 na inabaki nafasi ya 10 baada ya wote kucheza mechi 17.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live