Mon, 16 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa timu ya Taifa ya wanawake Tanzania Enekia Kasonga amesajiliwa na klabu ya Eastern Flames inayoshiriki Ligi kuu Saud Arabia.
Nyota wa timu ya Taifa ya wanawake Tanzania Enekia Kasonga amesajiliwa na klabu ya Eastern Flames inayoshiriki Ligi kuu Saud Arabia. Enekia anaungana na mchezaji mwingine wa timu ya Taifa ya Tanzania Clara Luvanga kwenye Ligi hiyo anayekipiga Al Nassr.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live