Wed, 9 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Tusker FC imekamilisha usajili wa Beki wa kati raia wa Tanzania David Mwasa kwa Mkataba wa Miaka Miwili
kwa nyakati tofauti mchezaji huyo aliwahi kuzichezea Klabu za Mbao FC, KMC na Mbeya City FC.
Mwasa tayari ameshajiunga na Kambi ya Tusker FC iliyowekwa Arusha
Chanzo: www.tanzaniaweb.live