Wed, 27 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtanzania ambaye anakipiga ligi kuu ya Norway kwenye klabu ya Bodo/Glimt, Amahl Pellegrino wikiendi amefunga goli 4 dhidi ya Valerenga.
Hadi sasa nyota huyo ndo kinara wa ufungaji kwenye ligi hiyo akiwa na goli (22) kwenye mechi (22) za ligi.
Nadhani TFF wanatakiwa kumleta huyu jamaa ili aungane na wenzake AFCON.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live