Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa kimataifa wa Tanzania na Klabu ya Al Najma FC ya Ligi daraja la pili nchini Saudi Arabia Simon Msuva leo amefunga magoli mawili katika kipigo cha 5-2 toka Klabu ya Al Arab.
Msuva alifunga dakika ya 52 na 65 hadi hivi sasa amecheza mechi 2 na kufunga magoli 3.
Klabu ya Al Najma inashika nafasi ya 9, alama 23 na michezo 24.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live