Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Simon Msuva, ameanza rasmi mazoezi na timu yake ya mpya ya Al Najmah ya Saudi Arabia baada ya kumalizana na JS Kabylie.
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Simon Msuva, ameanza rasmi mazoezi na timu yake ya mpya ya Al Najmah ya Saudi Arabia baada ya kumalizana na JS Kabylie. Al Najmah katika Ligi Kuu Saudia imecheza mechi 19 na kuvuna pointi 25, ikishinda mechi 7, droo 4 na kupoteza mechi 8.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live