Thu, 29 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa kimataifa ya Tanzania ambaye anacheza ligi daraja kwanza Saudia, Simon Msuva jana amefunga goli lake la kwanza kwenye mchezo wake wa kwanza akiwa na klabu ya Al-Najma SC kwenye mchezo wa ligi wakishinda 3-1 dhidi ya Al-Jandal na kuisaidia timu yake kubeba alama 3 muhimu.
Tazama Video hapa chini kuona goli hilo la Msuva:
Chanzo: www.tanzaniaweb.live