Wed, 3 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) 2021/2022 imeendelea siku ya jana, Novemba 2 kwa michezo miwili.
Ligi hiyo kwa sasa imefikia hatua ya raundi ya tano, huku vilabu vichache vikiwa vimecheza michezo minne.
Yanga ndio kinara kwa sasa akiwa na alama 15, baada ya kushuka dimbani michezo mitano.
Timu ya Tanzania Prisons wanaburuza mkia wakiwa na alama moja baada ya kushuka dimbani mara nne.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live