Mon, 4 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi kuu Tanzania Bara imeendelea mwishoni mwa juma liliopita na hatimaye mzunguko wa pili umekamilika, huku kila timu ikiwa imeshuka dimbani michezo miwili.
Timu ya Polisi Tanzania ndio inayoongoza msimamo wa Ligi ikiwa na alama sita (6) baada ya kushinda michezo yake yote miwili.
Geita Gold, wageni wa Ligi kuu ndio timu pekee ambayo imepoteza michezo yake yote miwili na kujikuta inaburuza mkia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live