Mon, 29 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) msimu wa 2021/2022 imeingia hatua ya mzunguko wa saba.
Tayari timu nkadhaa zimeshacheza mechi saba huku nyingine zikitupa dimbani leo na kesho.
Huu hapa msimamo wa Ligi baada ya mechi ya Jana Novemba 28, kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Costal Union.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live