Tue, 7 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara imeingia hatua ya mzunguko wa nane na inatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Juma.
Yanga bado kinara akiwa nafasi ya kwanza na alama zake 19 baada ya kucheza michezo sana, nafasi ya pili inakamatwa na bingwa mtetezi Simba wenye alama 17 nao wakiwa washacheza michezo 7.
Mtibwa bado anaburuza mkia akiwa na alama zake 2 huku juu yake akiwa ni Geita Gold wenye alama 5.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live