Mon, 6 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara 2021/2022 inaingia hatua ya mzunguko wa nane ambao utakamilika mwishoni mwa Juma hili.
Yanga bado anaongoza msimamo wa Ligi akiwa kileleni na alama zake 19 akiwa ameshacheza michezo 7, akifuatiwa na Simba wenye alama 17 vile vile akiwa ameshacheza michezo 7.
Mtibwa Sugar bado hali si shwari akiwa mwishoni mwa msimamo na alama zake mbili baada ya kucheza mechi 7.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live