Wed, 22 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara 2021/2022 (NBC Primia Ligi) inazidi kupamba moto, kwa namna ilivyo na ushindani kwa timu shiriki.
Mpaka sasa Yanga ndio Kinara katika msimamo wa Ligi akiwa na alama zake 23 baada ya michezo tisa akifuatiwa na Simba SC mwenye alama 20.
Mtibwa Sugar bado hali ngumu akiwa ndie anaekamata nafasi ya mwisho katika msimamo wa Ligi na alama zake saba.
Tazama hapa chini msimamo huo unavyoonekana;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live