Mon, 13 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jana jumapili Disemba 12 Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Priimia Ligi) 2021/2022 ilikamilisha raundi ya 8.
Kwa upande wa vinara hakuna mabadiliko kwani bado Yanga ipo kileleni na alama zao 20 akifuatiwa na Simba SC.
Anaeburuza mkia kwa sasa ni Geita Gold baada ya siku ya jana Mtibwa kupata ushindi dhidi ya Biashara United.
Tazama hapa chini uone msimamo ulivyo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live