Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester City inamfuatilia kwa ukaribu beki wa kati wa Everton Jarrad Branthwaite kuona namna itapata saini yake, huku klabu za Manchester United, Tottenham Hotspur pamoja Real Madrid ya uhispania zikionesha nia za kumtaka mchezaji huyo wa kiingereza mwenye umri wa miaka 21.
Klabu ya Manchester City inamfuatilia kwa ukaribu beki wa kati wa Everton Jarrad Branthwaite kuona namna itapata saini yake, huku klabu za Manchester United, Tottenham Hotspur pamoja Real Madrid ya uhispania zikionesha nia za kumtaka mchezaji huyo wa kiingereza mwenye umri wa miaka 21.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live