Fri, 3 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, inaondoka asubuhi ya leo kuwafuata Timu ya Red Arrows nchini Zambia.
Simba watacheza na Red Arrows katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Simba inaongoza kwa magoli 3-0, ushindi uliopatikana kwa Mkapa Jijini Dar es Salaam, Novemba 28.
Msikie Kaimu Afisa Habari wa Simba;
???? Taarifa kuhusu kikosi kuondoka kesho asubuhi kuifata Red Arrows nchini Zambia. #NguvuMoja pic.twitter.com/NZCzKFxBEf
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) December 2, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live