Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imeripotiwa kufikia makubaliano ya kumsajili mlinzi Herve Ngomo Takougoum kwa mkataba wa miaka mitatu kutoka Coton Sport FC ya Cameroon.
Klabu ya Simba imeripotiwa kufikia makubaliano ya kumsajili mlinzi Herve Ngomo Takougoum kwa mkataba wa miaka mitatu kutoka Coton Sport FC ya Cameroon. Ngomo (26) raia wa Cameroon anakuja kama mbadala wa moja kwa moja wa Pascal Wawa aliyeachana na Wekundu hao wa Msimbazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live