Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mrisho Ngassa ampa za uso Fisto Mayele

Mrisho Ngassa Mrisho Ngassa ampa za uso Fisto Mayele

Tue, 13 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Sakata la Fiston Mayele limemuibua mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa ambaye amesema kama ni kutupiwa jini basi Fei Toto angekuwa chizi, majini ya hapahapa na yanamuona kuliko majini ya kusafiri.

“Kuna kipindi nilihamia team nyingine kutoka yanga nikakuta kule mashabiki wachache nishazoea shangwe kufunga kukawa shida nikasema ndio nimeisha au Ikn sikuwaza majini” ameandika Ngassa kwenye ukurasa wake wa Instagram.

“Kuna wachezaji wakitoka Simba, Yanga, Azam kufunga ni ngumu wanaenda team Mashabiki wapo 30 mpinzani haogopi chochote, uwezo wako ndio watakiwa uwaonyeshe. Sasa umeondoka ktk team umeuzwa watu wamepiga pesa wamefurahi unakuja umetupiwa jini.

“Basi Fei Toto angekuwa chizi majini ya kusafiri na majini ya hapa hapa yanamuona. Hahaha team ni kubwa kuliko mtu yoyote hii ni story fupi wachezaji. Kuna maisha baada ya soccer tuishi vizuri na shule tulizo pita kesho tutasomesha watt wetu kwa Ada ndogo” — Ngassa

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: