Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa kimataifa wa Morocco anayehudumu katika klabu ya Wydad Athletic Club, Ayoub El Amloud amefanikiwa kufunga goli katika mashindano yote ambayo ameshiriki katika klabu hiyo.
Siku kadhaa zilizopia alifanikiwa kufunga goli kwenge mchezo wa robo fainali ya African Football League dhidi ya Enyimba FC na kuzidi kuweka historia yake vyema.
AFL
CAFCL
FIFA Club World Cup
Arab Champions Cup
Botola Pro
Throne Cup
Ni beki gani hapa bongo unamuona anaweza kufata nyayo zake? Mtaje
Chanzo: www.tanzaniaweb.live