Mon, 9 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpenzi wa Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez ameelezea kujiweka kando na baadhi ya watu wake wa karibu (ndugu) hasa wale ambao wanajisogeza karibu yake kipindi hiki ambacho yupo ya CR7.
Mrembo huyo ameamua kujitenga nao kwa sababu walikuwa hawampi ushirikiano wakati anapambana na hali ya maisha kipindi ambacho maisha yalikuwa magumu.
Ronaldo kwa sasa amesajiliwa na Klabu ya Al-nassr ya Saudi Arabia akitokea Manchester United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live