Wed, 27 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Sauti ya Radi ‘Mwamba wa Umalila’ Baraka Mpenja ndiye amepewa mamlaka ya kuisherehesha Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya Al Ahly, akisaidiwa na Ayubu Hinjo.
Sauti ya Radi ‘Mwamba wa Umalila’ Baraka Mpenja ndiye amepewa mamlaka ya kuisherehesha Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya Al Ahly, akisaidiwa na Ayubu Hinjo. Mechi hii utaipata LIVE kupitia #AzamSports2HD kuanzia saa 3:00 usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live