Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya West Ham ya nchini Uingereza inatajwa kwamba wanataka kuachana na Kocha wao Mkuu, David Moyes ambaye anadaiwa anawaniwa na klabu ya Spartak Moscow ya nchini Urusi
Timu ya West Ham ya nchini Uingereza inatajwa kwamba wanataka kuachana na Kocha wao Mkuu, David Moyes ambaye anadaiwa anawaniwa na klabu ya Spartak Moscow ya nchini Urusi Kocha wa klabu ya Lille ya nchini Ufaransa, Paulo Fonsecaa ndiye anayetajwa kurithi mikoba ya Moyes ila inaelezwa kuwa West Ham itakabiliwa na ushindani kutoka kwa AC Milan juu ya kumnunua kocha huyo
Chanzo: www.tanzaniaweb.live