Tue, 27 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Klabu ya Simba kutoka Ligi Kuu ya NBC, Moussa Pinpin Camara (25) ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Guinea kitakachocheza mechi mbili za kufuzu AFCON 2025 dhidi ya DR CONGO na Tanzania.
Golikipa wa Klabu ya Simba kutoka Ligi Kuu ya NBC, Moussa Pinpin Camara (25) ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Guinea kitakachocheza mechi mbili za kufuzu AFCON 2025 dhidi ya DR CONGO na Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live