Wed, 21 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa As Roma,Jose Mourinho amefungiwa michezo minne na shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) kufuatia kitendo cha kumtolea maneno makali mwamuzi wa mchezo wa fainali ya Europa dhidi ya Sevilla.
Kocha wa As Roma,Jose Mourinho amefungiwa michezo minne na shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) kufuatia kitendo cha kumtolea maneno makali mwamuzi wa mchezo wa fainali ya Europa dhidi ya Sevilla. Katika mchezo huo AS Roma walipoteza mchezo wa Fainali kwa Mikwaju ya penati huku ikiwa ndio Fainali ya kwanza kwa Mourinho kupoteza katika soka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live