Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa AS Roma, Jose Mourinho amefungiwa mechi mbili na kutozwa faini ya Euro 10,000 kwenye mchezo wa ligi kuu wakati Roma ikipoteza mchezo kwa kufungwa mabao 2-1 na Cremonese.
Kocha wa AS Roma, Jose Mourinho amefungiwa mechi mbili na kutozwa faini ya Euro 10,000 kwenye mchezo wa ligi kuu wakati Roma ikipoteza mchezo kwa kufungwa mabao 2-1 na Cremonese. Katika mchezo huo Kocha huo asieishiwa vituko alioneshwa kadi nyekundu kwa vitendo vya utovu wa nidhamu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live