Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jose Mourinho amemtolea uvivu mchambuzi Jamie Carragher akimvua vyeo vya ukosoaji kwa sababu hajawahi kushinda taji la EPL na hayumo kwenye orodha ya mabeki bora
“Jamie Carragher anaongea sana wakati hajawahi hata kuingia kwenye mabeki 1000 bora”
“Inakuwaje mtu ambaye hajawahi kuwa bingwa wa EPL anawakosoa watu walioshinda ubingwa”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live