Tue, 23 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkufunzi wa Roma Jose Mourinho anataka kumsajili kiungo wa kati wa Ubelgiji Youri Tielemans.
Mkufunzi wa Roma Jose Mourinho anataka kumsajili kiungo wa kati wa Ubelgiji Youri Tielemans. Mkataba wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 utakapokamilika mwishoni mwa msimu na kuna kila dalili timu hiyo ikashuka daraja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live