Baada ya mwanzo mbaya msimu huu, Jose Mourinho huko As Roma klabu hiyo inafikiria kubadilisha kocha na kwa sasa inasemekana aliyekuwa kocha wa Tottenham Hotspur Antonio Conte huenda akarithi mikoba ya legend ambaye inaonekana nyakati zake njema huko Roma ziko kwenye wingu zito jeusi.
Baada ya mwanzo mbaya msimu huu, Jose Mourinho huko As Roma klabu hiyo inafikiria kubadilisha kocha na kwa sasa inasemekana aliyekuwa kocha wa Tottenham Hotspur Antonio Conte huenda akarithi mikoba ya legend ambaye inaonekana nyakati zake njema huko Roma ziko kwenye wingu zito jeusi. Ungekua mshauri wa klabu ungeshauri nini baina ya makocha hawa wawili nani unadhani ni bora zaidi ya mwenzake?