Fri, 24 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa As Roma Jose Mourinho amesema kuwa siku moja atakwenda kufundisha soka nchini Saudi Arabia ikumbukwe Jose alikataa ofa ya Euro milioni 30 kwa mwaka kutoka timu ya Al Hilal ya nchini humo.
Kocha wa As Roma Jose Mourinho amesema kuwa siku moja atakwenda kufundisha soka nchini Saudi Arabia ikumbukwe Jose alikataa ofa ya Euro milioni 30 kwa mwaka kutoka timu ya Al Hilal ya nchini humo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live