Tue, 23 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Jose Mourinho anadai alipokuwa mwalimu wa Manchester United hakupewa ushirikiano kama anaoupata Erik ten Hag hivi sasa.
Kocha Jose Mourinho anadai alipokuwa mwalimu wa Manchester United hakupewa ushirikiano kama anaoupata Erik ten Hag hivi sasa. Katika mahojiano na gazeti la Telegraph, Mourinho alilalamikia kutopewa usaidizi mkubwa wa kitaalamu wakati wa enzi zake, ambao anahisi kwasasa Ten Hag ananufaika nao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live