Sun, 18 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Jose Morinho amewajibu wale wote waliokuwa wanasema kuwa Messi hakustahili kubeba tuzo ya Ballon d'or mwaka 2010, na badala yake ilipaswa kwenda kwa aliekuwa Kiungo wa Inter Milan Wesley Sneijder.
Kocha Jose Morinho amewajibu wale wote waliokuwa wanasema kuwa Messi hakustahili kubeba tuzo ya Ballon d'or mwaka 2010, na badala yake ilipaswa kwenda kwa aliekuwa Kiungo wa Inter Milan Wesley Sneijder. "Sitaki kusema kuwa ni unyang'anyi, nani alishinda ? Messi kwa hiyo hakuna unyang'anyi".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live