Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mourinho Kocha mpya Timu ya Mbwana Samatta

Mourinho Awashukuru Mashabiki Wa Chelsea Kwa Kuimba Jina Lake Jose Mourinho

Fri, 31 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kocha José Mourinho ameingia mkataba wa miaka miwili na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki aliyowahi kucheza nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta.

Kocha José Mourinho ameingia mkataba wa miaka miwili na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki aliyowahi kucheza nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta. Kocha huyo aliyeachana na AS Roma ya Italia katikati ya msimu uliopita atajiunga na kikosi hicho cha Mabaharia wa Uturuki katika maandalizi ya msimu mpya.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live