Sun, 2 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mpya wa Fenerbahce Jose Mourinho amemzungumzia Ancelotti baada ya fainali ya UEFA jana na kusema Don Carlo ni kocha halisi wa mpira na sio kocha wa mitandaoni.
Kocha mpya wa Fenerbahce Jose Mourinho amemzungumzia Ancelotti baada ya fainali ya UEFA jana na kusema Don Carlo ni kocha halisi wa mpira na sio kocha wa mitandaoni. “Huyu sio kocha wa kwenye mitandao ,ni kocha haswa ukipata nafasi ya kwenda ofisini kwake utaona idadi ya medali alizoshinda”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live