Sat, 13 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika, Patrice Motsepe amesema maandalizi yote ya Afcon 2023 yamekamilika na wao kama CAF wanatarajia fainali za mwaka huu zitakuwa bora zaidi kuliko michuano iliyopita.
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika, Patrice Motsepe amesema maandalizi yote ya Afcon 2023 yamekamilika na wao kama CAF wanatarajia fainali za mwaka huu zitakuwa bora zaidi kuliko michuano iliyopita. Rais wa CAF ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Abidjan, kuelekea ufunguzi wa michuano hiyo ambapo leo wenyeji Ivory Coast watafungua pazia dhidi ya Guinea Bissau.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live