Mon, 3 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji kutoka nchini Zambia Moses Phiri ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Simba SC lwa mwezi Septemba, akiwashinda Viungo Clatous Chotta Chama (Zambia) na Muzamiru Yassin (Tanzania).
Mapema leo Jumatatu (Oktoba 03), Simba SC imemtangaza Mshambuliaji huyo kupitia kurasa za Mitandao ya Kijamii baada ya kukamilika kwa zaoezi la kupiga kura kupitia Tovuti ya Klabu hiyo.
“Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Septemba inakwenda kwa Moses Phiri. Hongera Phiri
Chanzo: www.tanzaniaweb.live