Aliekuwa Mchezaji wa Yanga Sc na SimbaSc, Bernard Morrison na raia wa Ghana amefunguka kuwa bado anaomba uraia wa Tanzania na amekuwa akifanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwijuma 'Mwanafa' ili amsaidie apate uraia wa TZ.
Aliekuwa Mchezaji wa Yanga Sc na SimbaSc, Bernard Morrison na raia wa Ghana amefunguka kuwa bado anaomba uraia wa Tanzania na amekuwa akifanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwijuma 'Mwanafa' ili amsaidie apate uraia wa TZ. Morrison amesikika kwenye kipande cha video kinachomuonesha akiwa na Bongo Zozo.