Wed, 22 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Morocco imetinga robo fainali ya kombe la Dunia kwa wachezaji wa umri chini ya miaka 17 kufuatia ushindi wa penalti 4-1 baada ya muda wa kawaida kumalizika kwa sare ya 1-1 kwenye hatua ya 16 bora.
Timu ya Taifa ya Morocco imetinga robo fainali ya kombe la Dunia kwa wachezaji wa umri chini ya miaka 17 kufuatia ushindi wa penalti 4-1 baada ya muda wa kawaida kumalizika kwa sare ya 1-1 kwenye hatua ya 16 bora. Morocco watakutana na wawakilishi wengine wa Afrika, Mali kwenye hatua ya robo fainali huko Indonesia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live