Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Morocco apewe Taifa Stars?

Morocco Mgunda Rasta Morocco apewe Taifa Stars?

Wed, 11 Sep 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Taifa Stars jana iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Guinea mchezo uliofanyika nchini Ivory Coast, ukiwa ni wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2025 nchini Morocco.

Sasa ipo hivi, kwenye makundi mbalimbali ya mitandao ya kijamii hivi sasa wadau wanazungumzia kuhusu benchi la ufundi la Taifa Stars linaloongozwa na Hemedi Suleiman Morocco na wasaidizi wake Juma Mgunda na Jamhuri Kihwelo.

Wapo wanaosema ni wakati mwafaka wapewe timu na wengine wanasema ni mapema, tusubiri kidogo.

Wewe una maoni gani?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live