Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bernard Morrison anatarajia kukaa nje ya uwanja kwa muda wote uliosalia wa msimu huu baada ya kupata jeraha kwenye mguu wake kulia wakati wa mazoezi na Klabu yake ya AS FAR Rabat.
Bernard Morrison anatarajia kukaa nje ya uwanja kwa muda wote uliosalia wa msimu huu baada ya kupata jeraha kwenye mguu wake kulia wakati wa mazoezi na Klabu yake ya AS FAR Rabat. Mchezaji huyo wa zamani wa Yanga na Simba SC atafanyiwa upasuaji siku chache zijazo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live