Fri, 6 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Álvaro Morata Amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Wiki wa Ligi ya Mabingwa ya mzunguko wa pili hatua ya Makundi.
Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Álvaro Morata Amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Wiki wa Ligi ya Mabingwa ya mzunguko wa pili hatua ya Makundi. Morata ameshinda tuzo hiyo akiwapiku nyota kama Bellingham, Bruma na Straika wa United Hojlund.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live