Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Montse Tome ameteuliwa kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya wanawake ya Hispania.
Montse Tome Alikuwa kocha msaidizi chini ya Jorge Vilda wakati Hispania ilipotwaa Kombe la Dunia mwaka huu 2023.
REKODI: Tome ndiye mwanamke kwanza kuiongoza timu ya taifa ya Hispania ya wanawake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live