Wed, 29 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dirisha lililopita Jesus Moloko alibakiza hatua chache kutemwa lakini kiwango alichokionyesha baada ya hapo jamaa amepindua meza na sasa yuko hatua za mwisho kusaini mkataba mwingine.
Msimu huu ameshafunga mabao matatu, mawili kwenye ligi na moja kwenye Shirikisho Afrika.
Tayari Moloko amekuwa na uhakika wa kupata namba ndani ya kikosi cha Nasreddine Nabi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live