Tue, 23 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliekuwa Mshambuliaji wa Yanga David Molinga amesema Mshambuliaji mpya wa Yanga, Joseph Guede ni mpambanaji kama alivyokuwa Fiston Mayele hivyo anaendana na mpira wa Tanzania.
Aliekuwa Mshambuliaji wa Yanga David Molinga amesema Mshambuliaji mpya wa Yanga, Joseph Guede ni mpambanaji kama alivyokuwa Fiston Mayele hivyo anaendana na mpira wa Tanzania. Endapo Guede akitulia, Molinga amesema nyota huyo anaweza kuwa na jina kubwa zaidi Tanzania sababu ni Mshambuliaji mzuri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: